tag:blogger.com,1999:blog-24823984.post6332098019945597013..comments2023-09-21T17:31:40.488+03:00Comments on Sumo: DANITOONSMzee wa Sumohttp://www.blogger.com/profile/07201436624637901154noreply@blogger.comBlogger1125tag:blogger.com,1999:blog-24823984.post-91741134435341312952009-04-24T13:34:00.000+03:002009-04-24T13:34:00.000+03:00weka basi habari za uchaguzi bondeni!
kwanini njia...weka basi habari za uchaguzi bondeni!<br />kwanini njia wanaotumia wao na sisi tusiitumie. kwani ni nzuri.<br /><br />tunatakiwa kujua idadi ya viti vya bunge na idadi ya wapiga kura halafu tunagawanya kujua kila kiti cha bunge ni kura/kula ngapi.<br /><br />halafu watu wanakwenda kupiga kura..<br />/kula!<br /><br />hakuna kampeni za wagombea viti vya ubunge ni uraisi na chama tuuuuuuu<br /><br />hapo imekaaje??<br /><br />nadhani tutaondokana na majimbo yale ya zenj yenye wapiga kura 10,000 wakati kule njombe kuna jimbo la zaidi ya 100,000<br /><br />..kwa namana hiyo utaona mbunge mmoja wa bara ni sawa na wabunge zaidi ya 5 wa zenji...<br /><br />wadau mnasemaje???<br /><br />heri mimi sijasema!<br />http://www.sowetan.co.za/News/Article.aspx?id=987257Anonymousnoreply@blogger.com