Friday, October 01, 2010
TAIFA STARS KAMBINI
Mwaka huu vijana wa Stars wamekamia kusafiri kwa ndege katika michuano mikubwa maana jana wameanza mazoezi makali kama wanavyoonekana pichani. Sasa kama kwenye mazoezi wanafanyiana hivi ikija kweli waarabu watapona kweli? Achas Morocco waje!!
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment