Tuesday, March 18, 2008
UFISADI
Viusafiri vingine jamani mtu anaweza kufikiri labda umefanya ufisadi kumbe ndio wa watu kila siku. Kama kwenye deal ya EPA ningekuwemo kama haka si kangekuwa kanasaidia kwenda kusalimu wazazi? Kanatua hata kwenye changarawe!!!!!
1 comment:
Anonymous said...
Haya baba...na wewe unataka ki-EPA chako?
18.3.08
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
Haya baba...na wewe unataka ki-EPA chako?
Post a Comment