Thursday, August 28, 2008

MAMA WA TAIFA

Mke wa Baba wa Taifa mwalimu Julius Nyerere akionyesha mbog aalizolima katika bustani yake Msasani jijini Dar es Salaam kwa meja Mbuge wa Jeshi la Kujenga Taifa jana walipomtembelea kufanya usafi katika nyumba yake ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya miaka 44 ya Jeshi la Ulinzi wa wananchi la Tanzania.


No comments: