Saturday, February 28, 2009

KITABU CHA KAWAWA

Mama wa taifa, Mama Maria Nyerere akisoma kibabu cha Mzee Kawawa, atakuwa anayajua mengi sana kwani Kawawa alikuw amshkaji wa Mzee enzi hizo na walifanya harakati pamoja!
Mzee kawawa akisaidia wkusaini baadhi ya vitabu kwajili ya ..... Wazeee!



JK akakizindua na kinaitwa 'Simba wa Vita' haya katafuteni nakala zenu sasa! Ila wabongo wazito kusoma vitabu kama hivi!

2 comments:

Anonymous said...

Ayaaa!!!!!!
Mama yetu anasoma kitabu upande-upande maskini...au anazuga? Halafu anafana na mume wake jamani, dah!!!!!!!

Anonymous said...

haswa mbongo mm kusoma kitabu ni sawa na kuoga maji yanayotoka kwenye friji