Monday, July 12, 2010

VYUKU

MSHIKEMSHIKE NDEGE TUNDUNI:Haki ya nani kwa watu ambao wamewahi kula kuku katika eneo la Chako ni Chako, Dodoma wanajua kilichowasibu hawa kuku wakati wajumbe zaidi ya 1900 wa CCM walipokuwa huko, sidhani kama kuna aliyehai sasa hivi.

No comments: