Wednesday, April 13, 2011

TUMBAKU TZ KUUZWA IRAN




SERIKALI inatarajiwa kufanikisha kuuza a tani 50,000 za tumbaku nchini Iran kwa bei nzuri ikiwa ni sehemu ya kukuza kilimo nchini.


Mafanikio hayo yanatokana na ziara ya kutafuta soko nchini Iran, ya naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Lazaro Nyarandu aliyeongoza ujumbe wa Tanzania katika kutafuta soko la zao hilo kufuatia wakulima kuzalisha kuwango kikubwa cha ziada.


Akizungumza juzi jioni baada ya kurejea kutoka Iran Nyalandu alisema tumbaku itakayouzwa nchi Iran ni ile ambayo imekosa soko la ndani.



Alisema kwa mujibu wa wataalam, licha ya kuwa Tumbaku inayouzwa nchini Iran nyingi inatokea nchini Zimbabwe na China lakini inayozalishwa Tanzania ina ubora wa aina yake.



Huku akizungumzia mpango wa serikali kutafuta soko la mazao mchanganyiko Nyarandu alisema,

No comments: