
Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika ,Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Kiongozi wa Chama cha Upinzani nchini Zimbabwe ,The Movement for Democratic Change(MDC)Bwana Morgan Tsvangirai jana jijini Addis Ababa wakati viongozi hao walipokutana kwa mazungumzo ya faragha katika hoteli ya Sheraton.
1 comment:
Bwana Morgan tsvangirai unaijuwa sehemu inayaitwa ZANZIBAR sisi husema mwenyemacho hambiwi tizama hapo usijidanganye
Post a Comment