Tuesday, April 15, 2008

MAISHA YA MTANZANIA

Maisha ya mtanzania ni barabara hii ielekeayo kwenye mafanikio, huwa ni ndeeefu na mara nyingine mtu husafiri bila kufanikiwa kufika mpaka anakufa. Wengine tunatembea kw amiguu , wengine baiskeli na wenye magari ni wachache ambao hufika huko.

No comments: