Thursday, May 01, 2008

KAMA NINGEKUWA FISADI

Gari yangu ingekuwa gold plated na inaoshwa na wataalamu tu sio kupeleka magomeni!
Sasa ukifika kwenye laptop ungekimbia inakuwa ya gold na kuzungushiwa diamond ili hata watoto wakiiona wakimbie!
N akwa safari ndogo ndogo ningekluwa natumia kagari kama haka!

Na baada ya kazi haya yangekuwa makazi ya muda wa likizo ng'ambo mnaita summer nini sijui?, Life goes on!

1 comment:

Anonymous said...

Duh!