Leo mkuu wa Usalama wa Raia, IGP Said Mwema leo ameamuru watu hao waliokuwa ndani kwa siku kadhaa waachiwe huru na uchunguzi wa kesi yao utaenda taratibu. Awali usalama wa raia walidai kuwa watuhao hawaruhusiwi kutembelewa hata na ndugu zao kwakuwa kosa lao la Uhaini ni kubwa!!!!!!!!
No comments:
Post a Comment