Friday, July 11, 2008

SARA RAMADHANI

Haya ndio yaliyomkuta baada ya kuingia marathon!!!!!!!!!!!!!!!
Nilisahau kusema kuw amichuano hii inafanyika mjini Singida na ni ya Kitaifa nchini ila binti huyu Sara Ramadhani wa Arusha alifanya vyema kwa kukimbia mita 5000 na kuibuka wa kwanza.
Mkuu wa mkoa akamvisha medali ya dhahabu lakini baadae jioni akaibuka katika marathon ikawas sooo!!!!!!!!!!! hadi sasa yuko hospitali!!!!

No comments: