Yanga ambayo sasa imefikisha pointi 15 kutokana na kushinda mechi zake zote tano, ilifunga mabao matatu ndani ya dakika nane, bao la kwanza katika dakika ya 14 wakati bao la tatu dakika ya 21.
Hata hivyo, shujaa wa mchezo huo kwa Yanga ni Boniface Ambani ambaye peke yake alifunga mabao matatu katika mchezo huo na kufikisha idadi ya mabao nane
No comments:
Post a Comment