Thursday, February 26, 2009

CUF ILE ILE

Maprofesa Lipumba na Safari kabla ya kupigiwa kura.
Profesa Safari akamwabia Profesa Lipumba 'Endelea Mzee'

Wajumbe wakimchagua Lipumba kw akishindo!!!
Uchaguzi Mkuu wa Chama cha wananchi (CUF) umekamilika. Wajumbe waliopiga kura ni 669 na washindi katika uchaguzi huo ni kama ifuatavyo:
i. Nafasi ya Katibu Mkuu imebakia kwa Maalim Seif Sharif Hamad aliyepata kura 651 sawa na 99.5%ii.
Nafasi ya Makamo Mwenyekiti imebakia kwa Mhe. Machano Khamis Ali aliyepata kura 644 sawa na 98.6%iii.
Nafasi ya Uwenyekiti imekwenda kwa Profesa Ibrahim Lipumba aliyepata kura 646 sawa na 97.4%.

No comments: