Thursday, April 09, 2009

NMnajimu maarufu na Mtabiri wa nyota Afrika mashariki ,Sheikh Yahaya Hussen akizungumza na waandishi wa habari jana nyumbani kwake jijini Dar es Salaam mara baada ya kuwasili toka India kwa matibabu ya ugonjwa wa moyo kulia ni mkewe Ketty (mama mufti junior). Sheikh huyo alizushiwa kufa

No comments: