Tuesday, January 29, 2008

MILA INAENDELEA

Mjomba wa Bi Harusi alikuwa anachangamkia 'akamwani'.
Miruko alikuwa mstaarabu kichizi, cheki alivyokuwa anatambulishwa. Mgeni siku ya kwanza!
Mshenga alimwonyesha kwa wakwe ili wamfahamu na alikuwa na kasmile kake hako!
Huku wataalamu tulikuwa tumepewa kilaji hakuna mtu alikuwa na wasiwasi labda Miruko!
Baadae tulijichana hakuna kitu kizuri kama kuwa mgeni Afrika, cheki Miruko sisi tunakul aanajicheki mfukoni ndoa bwana!

No comments: