Wafanyakzio wa kiwanda cha AtoZ wakitengeneza vyandarua katika kiwanda hicho chenye ushirikiano na kampuni ya Sumitomo Chemicals ya Japan mjini arusha leo kiwanda hicho kilikuwa kifunguliwe an Rais Kikwete lakini kwa mambo mazito ya waziri Mkuu akashindwa kuja imebidi afungue makamu, Dk Shein.
1 comment:
its Hon Pinde new PM
aliko
Post a Comment