Tuesday, February 05, 2008

MICHUANO YA AFRIKA


Ahmed Fathi wa misri akiwa amebanwa na waangola Alberto Manucho Sebastiao Gilberto wakati wa mpambano wao katika fainali za Afrika mjini Kumasi Ghana. Misri ilishinda 2-1

Samuel Eto'o wa Cameroon akikabwa na Joahar Mnari wa Tunisia katika mechi nyingine ya michuano hiyo mjini Tamale Ghana.Cameroon ilishinda 3-2

No comments: