Akiwa katika pama lake la Kicowboy, Mtaalam John Pombne Magufuli amepewa Wizara ya Vitoweo (Samaki na Mifugo) wengi walitarajia angerejeshwa Ujenzi ama miundombinu!!!! Tunasubiri makeke ya huko kwa wamolani!
1 comment:
Anonymous
said...
sioni kama kikwete amemtendea haki, he is hardworking,alitakiwa kuwa palepale alipokuwa, isitoshe he is open, nampendea hicho kwa kweli, haogopi kusema ukweli.
1 comment:
sioni kama kikwete amemtendea haki, he is hardworking,alitakiwa kuwa palepale alipokuwa, isitoshe he is open, nampendea hicho kwa kweli, haogopi kusema ukweli.
Post a Comment