Friday, July 04, 2008

CHAI MAHARAGE

Unguja nakubaklio huwa ziko saana lakini hii Chai Maharage imekutwa ikikatisha mitaa ya Dar es Salaam na kula vichwa sijui ndio vinakuja kureplace vipanya ama vipi? Sumatra itabidi wafafanue magari ya abiria ni yapi?

No comments: