Pich aya Chini: Imma Mbughuni akimfariji Rehure Nyaulawa jana baada ya msiba wa baba yake, Richard Nyaulawa ambaye ni Mbunge wa Mbeya Vijijini aliyefariki dunia jana. Wazazi wa Imma na Rehure, Richard na Rashid Mbughuni ndio waanzilishi wa kampuni ya magazeti ya Business Times. Wengi tumaingilia kwenye fani kupitia kampuni hiyo.
No comments:
Post a Comment