Licha ya kusomewa shitaka hilo la silaha, pia upande wa mashitaka jana ulieleza mahakama kuwa wanatarajia kuwaita jumla ya mashahidi 13, akiwepo Mkuu wa Mkoa wa Singida, Vicent Kone ambaye aliwahi kuwa mbunge wa Simanjiro na viongozi wengine wa CCM.
Mwendesha mashitaka wa Serikali, Michael Luena alisema shitaka la kwanza linalomkabili Sendeka, ni shambulio ambalo anatuhumiwa kumpiga Ngumi na kibao Millya Januari 9, mwaka huu wilayani Monduli na kumsababishia majereha.
No comments:
Post a Comment