Tuesday, April 21, 2009

DANITOONS


1 comment:

Anonymous said...

weka basi habari za uchaguzi bondeni!
kwanini njia wanaotumia wao na sisi tusiitumie. kwani ni nzuri.

tunatakiwa kujua idadi ya viti vya bunge na idadi ya wapiga kura halafu tunagawanya kujua kila kiti cha bunge ni kura/kula ngapi.

halafu watu wanakwenda kupiga kura..
/kula!

hakuna kampeni za wagombea viti vya ubunge ni uraisi na chama tuuuuuuu

hapo imekaaje??

nadhani tutaondokana na majimbo yale ya zenj yenye wapiga kura 10,000 wakati kule njombe kuna jimbo la zaidi ya 100,000

..kwa namana hiyo utaona mbunge mmoja wa bara ni sawa na wabunge zaidi ya 5 wa zenji...

wadau mnasemaje???

heri mimi sijasema!
http://www.sowetan.co.za/News/Article.aspx?id=987257