Wednesday, May 06, 2009

KITIMOTO

Jamani wabongo wabishi yaani pamoja na Masri kuamua kuchinja vitimoto vyao vyote kuepuka mafua ya nguruwe, wao wanaendelea kufyeka tu!!! Cheki shehena hii ilikuwa ikipelekwa sehemu kwajili ya kufanya mambo!!!

No comments: