kali ilitokea wakati Mbongo mmoja anayeitwa Paul alipoingia na gari lake Celica na kuipiga riound kali kuliko hata madareva weliokuwa katika utaratibu na kufanya polisi kutaka kumkamata, lakini wananchi walipiga kelele aachiwe na nguvu za umma zikashinda.
Lakini baadae du mtanganyika huyo akajikuta lupango eti kwa kuvuruga mashindano!!!
wengine wanadai huwa ana hamu ya kushiriki lakini hukataliwa kupewa namba kutokana na gari lake, sasa michezo kama hii itabakia mpaka lini kuwa ya wahindi na wazungu tu!!!!!!!
No comments:
Post a Comment