Monday, August 09, 2010

TAMASHA LA SIMBA









Ingawa naipenda Yanga lakini.....

Nimeona nikuletee picha za Simba day kama utapata nafasi basi uweke kwenye blog wadau nao waone,ilikuwaje siku hiyo namba na ,maelezo yake ni kama ifatavyo.

Mgeni rasmi wa siku hiyo,Mh, Shamhuna,akiizindua rasmi jezi ya Simba ya ugenini na nyumbani.

Mdau akiuza jezi za Simba siku hiyo,sijui kama Simba wenyewe wanafaidika na mauzo hayo au baadhi tu ya wajanja wanajipatia hela kupitia mgongo wa klabu.

Magari ya watu mbalimbali waliohudhuria.
Twanga pepeta wakinogesha siku hiyo.

Kibonde aliyekua MC wa suku hiyo,akiyarudi magoma ya Twanga Pepeta

MDAU

JOSAA

No comments: