Thursday, January 06, 2011

UMEYA

HATIMAYE Chadema wameibuka kuwa washindi wa kiti cha Umeya na Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza. Sasa Meya wa Jiji ni Josephat Manyerere kura 17 na Stanislaus Mabula wa CCM alipata kura 15. Mji shwari hakuna kelele watu wametulia. FFU wameanza kusambaa taratibu.

No comments: