Cheki watoto wanavua visamaki katika bwawa la maji machafu mabobo Dar es Salaam, hata kama ni mboga lakini duh za kwenye kimyesi ni noma. Sasa kuna wazazi hupenda vya bure ukipika hiyo mchuzi mzito kumbe........
3 comments:
Anonymous
said...
hao vijisamaki vina kila aina ya proten ebu jaribu kuvila utatamani utamu wake
3 comments:
hao vijisamaki vina kila aina ya proten ebu jaribu kuvila utatamani utamu wake
Elimu ya afya inaitajika
jamani kuna cholera:
Post a Comment